Isaiah 28:7-8


7 aHawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,
wanayumbayumba kwa sababu ya kileo:
Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo,
wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo;
wanapepesuka wanapoona maono,
wanajikwaa wanapotoa maamuzi.

8 bMeza zote zimejawa na matapishi
wala hakuna sehemu hata ndogo
isiyokuwa na uchafu.

Copyright information for SwhKC